Katika mchezo wa juzi jumapili Ronaldo
alihitimisha ushindi wao kwa kufunga goli la pili na kumfanya kufikisha
jumla ya magoli 290.
Ronaldo ambaye pia mshindi wa tuzo ya Ballon d’Or
ya mwanamichezo bora wa dunia kwa mara ya tatu ameshika nafasi hiyo
akiwa amecheza michezo 289 huku nafasi ya pili ikishikwa na Alfredo Di Stefano ambaye amecheza michezo 392 huku nafasi ya kwanza ikishikwa na Raul Gonzalez mwenye idadi ya magoli 323 katika michezo 741.
No comments:
Post a Comment