Tuesday, 17 February 2015

COUPLE ALERT : JUX, VANESSA MDEE SIO SIRI TENA

Jux Vanessa
Jux na Vanessa wakila bata visiwani zanzibar
Wanakwambia kusoma hujui hata picha huoni. Baada ya kukanusha mara kwa mara katika media mbalimbali, hatimaye wanamuziki wanaofanya poa katika gemu la muziki wa Bongo Fleva, Jux na Vanessa Mdee wameshindwa kuficha hisia zao na kuamua kuweka kila kitu wazi.

Wawili hao ambao waliangusha shoo ya nguvu visiwani Zanzibar wikiendi iliyopita sambamba na kundi la navy Kenzo,  wali-post picha wakiwa katika pozi la mahaba niue kwenye mtandao wa Instagram na kujikuta wakipata pongezi nyingi kutoka kwa followers wao.  Tazama picha za ziara yao hapo chini
Vee Money Jux Shadee Petitiman
Mtangazaji wa Clouds Tv, Shadee(Wa Kwanza kushoto), Vanessa Mdee, Petitman na Jux baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa kimataifa Zanzibar
Jux Vee Money Zanzibar
Jux akipata u-selfie flani amazing na mashabiki walio-show love katika show yao visiwani Zanzibar
Zanzibar Jux Vaness Shadee Aika MarialleZanzibar1

No comments:

Post a Comment