Saturday, 28 March 2015

Tip top connection na Bongo fleva zimepata huu msiba mkubwa leo…

pippTasnia ya burudani imepata pigo kwa mara nyingine baada ya aliyekuwa meneja na mwanzilishi wa kundi la Tip top connection Abdul Bonge kufariki dunia leo March 28.

Wednesday, 25 February 2015


Home » Michezo » Mchango wa David Beckham kwenye soka, tuzo hii maalum ni kwa ajili yake…

January Makamba - Tanzania Mpya

Mchango wa David Beckham kwenye soka, tuzo hii maalum ni kwa ajili yake…

bekMkongwe wa soka dunia David Beckham amedhihirisha kuwa alitumia vyema nafasi yake uwanjani na kujenga jina kabla hajaamua kustaafu mchezo huo na kuendelea na maisha ya kawaida.

Tuesday, 24 February 2015

Rekodi hii inamfanya Cristiano Ronaldo kuingia kwenye list ya mashujaa wa Real Madrid…



criiiiNeema imeendelea kubaki upande wa mshambuliaji Christiano Ronaldo baada ya juzi kuisaidia timu yake kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 na kumfanya kuwa mfungaji wa tatu kwa kuwa na magoli mengi katika historia ya soka la Hispania.

Sunday, 22 February 2015

Ajali ya moto kwenye ghorofa la makazi ya watu Dubai (Picha & Video)

0
Moja ya story ambayo imechukua sehemu kubwa ya habari kwenye vyombo vya Kimataifa ni hii ishu ya moto mkubwa ambao umeteketeza sehemu kubwa ya ghorofa usiku wa kuamkia leo February 21 Dubai.

Man United walipocheza na Swansea kilichowakuta hiki hapa


(null)
Miezi takribani 7 tangu siku ya kwanza ya msimu wa 2014/15 wa ligi kuu ya Englang ulipoanza – ambapo tulishuhudia Swansea City wakimpa kipigo cha kwanza Louis Van Gaal katika uwanja wa Old Trafford – leo Kocha huyo kiholanzi alipata nafasi ya kurudisha kisasi.

Friday, 20 February 2015

Mwanamke Amuua Mwanamke Mwenzake kwa Kummwagia Mafuta ya taa na Kumchoma Moto baada ya Kumfumania na Mumewe


Mkazi wa kijiji cha Ibosa, kata ya Nyakato, Bukoba Vijijini, Amelia Richard (50) anatuhumiwa kumuua mwanamke mwenzake kwa kummwagia mafuta ya taa na kumchoma moto baada ya kumfumania na mumewe.