
Tasnia ya burudani imepata pigo kwa mara nyingine baada ya aliyekuwa meneja na mwanzilishi wa kundi la Tip top connection
Abdul Bonge kufariki dunia leo March 28.

Abdul Bonge enzi za uhai wake
Chanzo cha kifo chake bado hakijafahamika
Taarifa za kifo chake zimeanza kusambazwa leo March 28.
No comments:
Post a Comment